
Ukiiga iz lever joh lazima utarost
Zinatisha zaidi ya devil Bongo Ink ni Mahost
I know all swagga japo ni mtoto wa Coast
Mahaterz nawasaga nakuwaunga kama Roast
Kazi tunazozifanya lazima uziagree
Maujanja twayatawanya yeah we are so glee
Tunawaburn kila kona from A mpaka Zii
Tunarun mitaan kwa neema za Manabii
Kila kukicha tunachomoka kama Rocate
Tupo fit tumejipanga zaidi ya Budget
Yeah wanatuappreciate
Cash on spot with out kunagotiate
Tuna despline kama tupo kwenye ibada
Bongo Ink inatapakaa kama Marash ya Escada
Kitaa wanatusoma kama Rada
Elim tushawapatia hatuhitaji zenu Ada
Bata tunazitafuna kama Bazoka
Cash mifukoni zimejaa no kuogopa
Peace na Respect kwa shujaa Dj Choka
They call me Jaddo Bongo Ink ndo napotoka
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ni free style tu hizo za Mnyama Jaddo F Baib,nitazidi kuwamegea Flava kila mwisho wa week kwenye kipengele kilekile cha B I FLAVA kama vipi usikose kuicheda Blog yako Ijumaa ijayo…Mafutaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa…………
Zinatisha zaidi ya devil Bongo Ink ni Mahost
I know all swagga japo ni mtoto wa Coast
Mahaterz nawasaga nakuwaunga kama Roast
Kazi tunazozifanya lazima uziagree
Maujanja twayatawanya yeah we are so glee
Tunawaburn kila kona from A mpaka Zii
Tunarun mitaan kwa neema za Manabii
Kila kukicha tunachomoka kama Rocate
Tupo fit tumejipanga zaidi ya Budget
Yeah wanatuappreciate
Cash on spot with out kunagotiate
Tuna despline kama tupo kwenye ibada
Bongo Ink inatapakaa kama Marash ya Escada
Kitaa wanatusoma kama Rada
Elim tushawapatia hatuhitaji zenu Ada
Bata tunazitafuna kama Bazoka
Cash mifukoni zimejaa no kuogopa
Peace na Respect kwa shujaa Dj Choka
They call me Jaddo Bongo Ink ndo napotoka
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ni free style tu hizo za Mnyama Jaddo F Baib,nitazidi kuwamegea Flava kila mwisho wa week kwenye kipengele kilekile cha B I FLAVA kama vipi usikose kuicheda Blog yako Ijumaa ijayo…Mafutaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa…………
MA RHYMES DAMAGE N SLAUGHTER,
ReplyDeleteRIL ALCOHOLIC LIKE PRESIDENT BUSH DAUGHTER,
DISCUSSIN 4LOW LIKE 3RD WORLD COUNTRZ TAP WATER,AAAH INATOSHA MSIJEOGOPA BURE