


Jana mida ya jioni flani hivi nilitembelewa na mwanadada kutoka pande za hukooooooooo Tegeta(mbezi)alikuja na wazo lake la kujiporomoshea kitu cha ajabu na kama kawaida nilikaa chini na kutengeneza kitu hicho hapo juu,hiyo bana haikutumia mida wazeiya ilitumia kama lisaa hivi......galzz BONGO INK IPO KWAAJILI YENU TIMBENI KWA PALL MPATE VITU ROHO YAPENDA. AU VIPI?
No comments:
Post a Comment