Friday, July 30, 2010

Baraka Abayo na michano


Mmoja kati ya jamaa wa karibu sana na mdau kamili wa Bongo Ink Baraka,nilimtembelea ofisini kwake na jamaa nilipiganae story mbili tatu hivi kuhusu B I FLAVA,jama nilimshangaa akipandisha mzuka wa kuchana na matokeo ndo hayo hapo juu jamaa...jamaa upo Tongwe Records anangoma kazaa amazo soon mtazisikia hewani

No comments:

Post a Comment