Bila tabu bila bugdha zozote Bongo Ink inazidi kuzitengeneza ata Tattoo zisizo na show nakuzipa uhai mpya jamaa ilikuja akina na tattoo yake aliyechora kwa kudungadunga na haikua imetoka poa kama unavyoicheda hapo Bongo Ink ilifanya maajabu nakutoa kitu kipyaaaaaaaaaa kinang’aaaaaaa ata kizani ,kaka karibu tena na wewe pia kama unatattoo yako na unahisi haina viwango vya kutosha tutembelee Bongo Ink tuje tukutengeneze THE EXCEPIONALZ ipo kwa ajili yeyu jamani NO STROMO…….
No comments:
Post a Comment