Tuesday, September 7, 2010

NYANDU (26 NUMBER) ATIMBA BONGO INK




Amidu,Nyandu,26number naye alitimba BONGO INK kusababisha michoro kadhaa kwenye mwili wake akisindikizwa na vijana wake kutoka B.O.B walihakikisha wanatoka na michoro kadhaa kutoka BONGO INK,nyandu au unaweza kumwita 26number anayefanya vizuri sana kwenye Game la Hippop Bongo kwa ngoma zake kadhaa kama 26NUMBER,SIKATI TAMAA ikiwa ndio imebeba jina la Albam,nilipiganae story mbili tatu baada ya kumaliza kumchora jamaa ilinena kwamba albam yake ipo tayari sema HAIUZWI atawagaiya mashabiki wake albam bureeeee,chakufanya kama wewe ni mshabiki wa mchizi wa dhati timba B.O.B (KINONDONI)ukapate copy yako,26number akuondoka hivihivi mimi pia aliniachia copy yake yangoma zake ebwana wazeiyaa pini zipo humo ndani ni balaa albam inangoma kama 8 hivi na kolabo na wasanii mbalimbali kama Mandojo &Domokaya ngoma inaitwa KWANZA,MWANZO MWISHO na Babuu wa kitaa,WANANIWINDA na Chid Benz&Mbamba,SIKATI TAMAA na Mabovu/Blue&Beka B,26 NUMBER,G nako/Blue&Mbamba na wangine wengi …..

No comments:

Post a Comment