
Joseph Myk Lyover,jina lakutafutia ridhiki EX PLAYER really HIP POP PIONEER,was raised in kino where pamemfanya awe mkali wa lyfstyle,jamaa anapatikana pande za kawe where he determined to get his hustle on Boutique bisinness is what caught his attention na ndio biashara anayo deal nayo kwa sasa ,way back 90’s he attended primary scul pande za kino and later kili boys high scul,after 4 years struggling no o’lever he took the flight hadi KAMPALA kwa advance lever KISUBI HIGH,Now Ex player kapata his way into rap game na jamaa atakuwa anawapa radha kwenye B I FKAVA…Fahmy Tattoo artist pia nilipata nafasi yakufanyanaye baadhi ya kazi kama unavyoona napo zamani flani hivi na aliahidi atarudi tena kwa kazi zingine na kama unavyoona hapo hiyo ni kazi mpya mbichiiiiiiiii kabisa nilioifanya jana jioni flani hivi,mchizi anataka kucover mwili wake wote na Tattoo na Bongo Ink ipo kwaajili yako kaka karibu sana tena sana Bongo Ink inakuahidi kukutengeneza vile utakavyopenda mpaka ujae huwo mweli….na wewe pia unaweza ukatengenezwa kama jamaa hapo with creative and great Tattoo and quality ones………with full of designz and safe work karibuni sana BONGO INK THE EXCEPTIONALS
No comments:
Post a Comment