Mchora tattoo wa Bongo Ink, Fahmi, alikuwa mmoja wa wahojiwa kwenye kipindi cha Runinga cha Nirvana kinachorushwa na EATV kila Jumanne saa 1 usiku. Fahmi alitoa knowledge ya jinsi ya kutunza tattoo baada ya kuchora. Hapa akishow love na Hostess wa Nirvana na akiwa amekula pozi na Dick (Field ops). Hey! Where the ***k is Baraka? (deep in the dark zone)
No comments:
Post a Comment